kitenzi elekezi~ana, ~ia, ~iana, ~ika, ~isha, ~iwa, ~wa
- 1
kamata mtu kwa nguvu.
baka - 2‘Umati wa watu ulikuwa umebamba barabara nzima’ziba
nominoPlural mabamba
- 1
bati.
- 2
kitu chembamba na chenye ubapa.
‘Bamba la kisu’‘Bamba la chuma’
nominoPlural mabamba
- 1methali ‘Bamba ni waume hapana bamba la mume’