nominoPlural mabomu
- 1
silaha iliyotengenezwa kwa vitu vinavyolipuka ambavyo husababisha madhara makubwa mahali inapolipukia.
‘Bomu la atomiki’‘Bomu la nyukilia’kombora - 2
kombora dogo linalotengenezwa kwa kutumia chupa au kibati.
- 3
swali au jambo gumu.
- 4
sauti kubwa ya ngoma.
- 5
ngoma ndefu yenye sauti nzito.
‘Bomu la gogo’ - 6
mtindo fulani wa kucheza ngoma mojawapo ya kizamani.
kitenzi elekezi~ana, ~lia, ~lika, ~lisha, ~liwa
- 1
angamiza kwa kutumia bomu.
- 2
shambulia mtu kwa maneno.
Asili
Kng