nominoPlural dasi
Kibaharia- 1
Kibaharia
kamba iliyoshonewa katika pindo za tanga la chombo ili kulifanya liwe madhubuti na ambalo hutofautishwa kutokana na mahali paliposhonwa.‘Dasi ya bara’‘Dasi ya chini’‘Dasi ya joshini’‘Dasi ya demani’ - 2
Kibaharia
uzi unaotumiwa kushonea tanga.
nominoPlural dasi
- 1
ugonjwa mmojawapo unaompata punda.
Asili
Kaj