Ingia
Kiswahili
Kiswahili
menu
Tunatumia kuki ili kuboresha tukio lako kwenye tovuti yetu. Kwa kuendelea kutumia tovuti yetu, unakubaliana na matumizi yetu ya kuki. Unaweza kubadilisha mipangilio yako ya kuki wakati wowote.
Endelea
Pata maelezo zaidi
Nyumbani
Kiswahili
deni
Ufafanuzi wa
deni
katika Kiswahili
deni
nomino
Plural
madeni
1
kitu anachodaiwa mtu.
‘Lipa deni’
Visawe
mkugo
2
kitu kilichoahidiwa.
methali
‘Ahadi ni deni’
Asili
Kar
Matamshi
deni
/dɛni/
Ingia