nominoPlural vipia
- 1
sehemu juu ya mlima au ngome.
nominoPlural vipia
- 1
magome au majani yanayotumika kutilia rangi mishipi na nyavu ili kuziimarisha.
mpesi, mkasiri
nominoPlural vipia
- 1
aina ya samaki jamii ya bunju.
‘Bunju kipia’
sehemu juu ya mlima au ngome.
magome au majani yanayotumika kutilia rangi mishipi na nyavu ili kuziimarisha.
aina ya samaki jamii ya bunju.