nominoPlural kulabu
- 1
kipande cha chuma kilichopinda nchani mfano wa ndoana, kinachotumiwa kusukia vitu.
- 2
kifaa cha chuma kama mkasi kilichopinda nchani, kinachotumiwa na sonara.
nominoPlural kulabu
- 1
nanga ndogo ya makombe manne.
Asili
Kar
kipande cha chuma kilichopinda nchani mfano wa ndoana, kinachotumiwa kusukia vitu.
kifaa cha chuma kama mkasi kilichopinda nchani, kinachotumiwa na sonara.
nanga ndogo ya makombe manne.
Kar