kitenzi sielekezi~ia, ~iana, ~ika, ~isha, ~iwa, ~wa
- 1
ondoa vumbi au taka katika kitu kwa kukipigapiga kitu hicho kwa fimbo au kwa kukibamiza kwenye kitu kingine k.v. ukuta.
‘Kung’uta zulia’fufuta, bumuta, buta - 2
toa maji kutoka kwenye kitu k.v. nguo, agh. baada ya kufuliwa, kwa kukipiga hewani.
fufuta, kumta - 3
nominoPlural kung’uta
- 1