Ufafanuzi wa mfigili katika Kiswahili
mfigili
nominoPlural mifigili
- 1
mmea wenye majani makubwa ya rangi ya kijani kisichokoza, kiazi cheupe, maua madogo ya manjano yaliyo katika kishada yanayotokea nchani na majani yake ni mboga nayo huliwa mabichi.
Asili
Kar