Ufafanuzi wa mkaliliaji katika Kiswahili
mkaliliaji
nominoPlural wakaliliaji
Kibaharia- 1
Kibaharia
mtu anayekaa kwenye mirengu ya ngalawa ili kuifanya isielemee sana upande mmoja.
Kibaharia
mtu anayekaa kwenye mirengu ya ngalawa ili kuifanya isielemee sana upande mmoja.