Ufafanuzi wa mtangawizi katika Kiswahili
mtangawizi
nominoPlural mitangawizi
- 1
mmea wenye tangawizi itumiwayo kuwa ni kiungo cha kinywaji au chakula au hutumiwa kuwa ni dawa ya kifua.
mmea wenye tangawizi itumiwayo kuwa ni kiungo cha kinywaji au chakula au hutumiwa kuwa ni dawa ya kifua.