Ufafanuzi wa mtu katika Kiswahili
mtu
nominoPlural watu
- 1
kiumbe anayetembea wima ambaye hutumia fikira zaidi kuliko silika kufanya mambo yake.
methali ‘Mtu akivuliwa nguo huotama, hainuki’methali ‘Mtu hakatai mwito, hukataa aitiwalo’methali ‘Mtu hujikuna ajipatapo’methali ‘Mtu huulizwa amevaani, haulizwi amekulani’methali ‘Mtu ni watu’methali ‘Mtu pweke ni uvundo’mwanadamu, mahuluku, binadamu