nominoPlural njugu
- 1
mmea unaozaa maua ambayo hujifukia ardhini na kutoa mbegu zinazotengenezwa mafuta ya karanga.
- 2
mmea wa jamii ya fiwi unaozaa punje ngumu za mviringo.
nominoPlural njugu
- 1
punje ngumu za mviringo.
karanga
mmea unaozaa maua ambayo hujifukia ardhini na kutoa mbegu zinazotengenezwa mafuta ya karanga.
mmea wa jamii ya fiwi unaozaa punje ngumu za mviringo.
punje ngumu za mviringo.