nominoPlural safari
- 1
tendo la kwenda mahali fulani ambapo ni mbali na pale mtu alipo.
methali ‘Safari ni hatua’
nominoPlural safari
- 1
awamu za utendaji wa jambo.
‘Safari hii niachie mimi’‘Hii ni safari ya pili timu hii kushindwa’
Asili
Kar
tendo la kwenda mahali fulani ambapo ni mbali na pale mtu alipo.
awamu za utendaji wa jambo.
Kar