kitenzi sielekezi~ana, ~ia, ~ika, ~isha, ~iwa, ~wa
- 1
badili rangi ya kitu kutokana na uchafu.
kitenzi elekezi~ana, ~ia, ~ika, ~isha, ~iwa, ~wa
- 1
kuwa tofauti na; kuwa kinyume cha.
‘Mawazo yangu yanasiga mawazo yako juu ya suala hili’
badili rangi ya kitu kutokana na uchafu.
kuwa tofauti na; kuwa kinyume cha.