kivumishi
- 1
-enye kulainika; -enye kulegea.
laini, tepetepe
kielezi
- 1
neno linalotumiwa kusisitiza kulainika kwa kitu.
‘Ndizi imelainika tebwere’ - 2
neno linalotumiwa kusisitiza hali ya kuchoka na kukata tamaa.
‘Ametebwereka tebwere’
-enye kulainika; -enye kulegea.
neno linalotumiwa kusisitiza kulainika kwa kitu.
neno linalotumiwa kusisitiza hali ya kuchoka na kukata tamaa.