nominoPlural tofauti
- 1
hali ya kutofanana.
‘Kuna tofauti baina ya mtu na mnyama’hitilafu, halafu
kielezi
- 1
-lio na hali isiyofanana na.
‘Shati hili ni tofauti na mengine’hitilafu, mbalimbali
Asili
Kar
hali ya kutofanana.
-lio na hali isiyofanana na.
Kar