nominoPlural asili
- 1
mwanzo wa mtu au kitu.
kindakindaki, chanzo, chimbuko, awali - 2
tabia ya mtu aliyozaliwa nayo.
- 3
kiini cha jambo; kitu cha awali.
‘Mali ya asili’msingi, usuli
Asili
Kar
Matamshi
asili
/asili/nominoPlural asili
Hesabu- 1
Hesabu
asili ya sehemu, kigawanyo k.m. nne katika ¾.
Asili
Kar
Matamshi
asili
/asili/kivumishi
- 1
-a kweli.
bora - 2
Asili
Kar