kiingizi
- 1
neno la kumfanya mtu asikilize.
‘Ati Juma!’ - 2eti!
kiingizi
- 1
neno la kuonyesha shaka juu ya jambo fulani.
‘Ati kesho sikukuu?’ - 2
neno la kuonyesha dharau.
‘Ati naye anajifanya ni askari’ - 3eti!
neno la kumfanya mtu asikilize.
neno la kuonyesha shaka juu ya jambo fulani.
neno la kuonyesha dharau.