Ufafanuzi wa chonga katika Kiswahili
chonga
kitenzi elekezi~ea, ~eana, ~eka, ~esha, ~ewa, ~wa
- 1
fanya ncha kwa kutumia chombo chenye makali k.v. kisu, panga na wembe.
‘Chonga kalamu’ - 2
tengeneza kitu kwa kutumia chombo chenye makali.
‘Chonga sanamu’ - 3
enda mbio.
kimbia