kitenzi sielekezi~ia, ~ika, ~isha
- 1
ruka kwa kitu kutoka pale kilipokaziwa; fyatuka kwa mtego.
fyatuka
kitenzi sielekezi~ia, ~ika, ~isha
- 1
katika ghafla kwa k.v. simu.
‘Tulikuwa tunaongea kwenye simu za mkononi, mara nikasikia simu ya mwenzangu imefyuka’