nominoPlural viungo
- 1
mahali vitu viwili au zaidi vinapounganikia.
nominoPlural viungo
- 1
kitu kinachotia chakula ladha au harufu nzuri k.v. chumvi, kitunguu, iliki au karafuu.
nominoPlural viungo
- 1
sehemu ya mwili wa mtu au mnyama.
nominoPlural viungo
- 1
muunganishaji au mratibu.