kitenzi elekezi~ana, ~ia, ~iana, ~ika, ~isha, ~iwa, ~wa
- 1
fanya kitu bila umakini; tenda ovyo.
kitenzi elekezi~ana, ~ia, ~iana, ~ika, ~isha, ~iwa, ~wa
- 1
vuta kwa kufanya msuguo.
kokota, buruza
fanya kitu bila umakini; tenda ovyo.
vuta kwa kufanya msuguo.