Ufafanuzi wa mawasiliano katika Kiswahili
mawasiliano
nominoPlural mawasiliano
- 1
upashanaji habari kwa njia mbalimbali k.v. simu, barua au teleksi.
- 2
njia za usafiri.
‘Hakuna mawasiliano ya barabara baina ya mikoa hii’
upashanaji habari kwa njia mbalimbali k.v. simu, barua au teleksi.
njia za usafiri.