kitenzi elekezi~ana, ~ia, ~iana, ~iwa, ~wa
- 1
kuwa na jambo, hali au kitu.
‘Pata homa’‘Pata msiba’‘Pata habari’‘Pata barua’ - 2‘Nilipata kufanya kazi hapa’methali ‘Upate udongo ungali maji’methali ‘Lililompata peku na ungo litampata’‘Pata jiko oa’wahi
kitenzi elekezi~ana, ~ia, ~iana, ~iwa, ~wa
- 1
kuwa kali.
‘Kisu kimepata’koa