kitenzi elekezi~ana, ~ea, ~eana, ~eka, ~esha, ~ewa, ~wa
- 1
tia hatarini au matatani; zushia balaa; letea taabu.
chongea, hatarisha
nominoPlural ponza
- 1
jambo au kitu kinachomtia mtu katika matata au taabu.
tia hatarini au matatani; zushia balaa; letea taabu.
jambo au kitu kinachomtia mtu katika matata au taabu.