nominoPlural rika, Plural marika
- 1
ngoma ndogo na nyembamba iliyowambwa upande mmoja na kuzungushiwa vijibati kwenye kingo zake.
nominoPlural rika, Plural marika
- 1
umri mmoja.
‘Watoto hawa ni rika moja’‘Mimi na yeye ni rika moja’hirimu
ngoma ndogo na nyembamba iliyowambwa upande mmoja na kuzungushiwa vijibati kwenye kingo zake.
umri mmoja.