Ufafanuzi wa tasfida katika Kiswahili
tasfida, tasifida
nominoPlural tasfida
Fasihi- 1
Fasihi
matumizi ya maneno ya adabu au fiche yasiyoibua hisia mbaya kueleza dhana ambazo maneno yanayoziwakilisha hukera watu yasemwapo k.v. kusema jisaidia badala ya kunya, aga dunia badala ya kufa, jifungua badala ya zaa, tupu ya mbele badala ya mboo au kuma.usafidi, tauria
Asili
Kaj