kitenzi elekezi~ia, ~iana, ~ika, ~isha, ~iwa
- 1
angalia kitu kwa undani kisha kadiria bei au ubora wake.
‘Nyumba hii imetathminiwa kuwa shilingi milioni tano’‘Tunatakiwa tutathmini mradi wetu’
Asili
Kar
Matamshi
tathmini
/taθmini/nominoPlural tathmini
- 1
utafutaji au utoaji wa thamani ya kitu.
Asili
Kar