kitenzi sielekezi~ia, ~ika, ~isha, ~iana, ~iwa, ~wa
- 1
-ja juu kwa kitu au sehemu ya mwili.
‘Uso wangu umevimba’tuna, fura, vuvumuka - 2
kuwa na hasira.
ghadhibika - 3
nenepa sana.
kitenzi elekezi~ia, ~ika, ~isha, ~iana, ~iwa, ~wa
- 1
funika paa la nyumba kwa makuti, nyasi au mabati.
ezeka