kitenzi sielekezi~ea, ~eana, ~eka, ~esha, ~ewa
- 1
toa sauti nzito ya mkwaruzo kwa kuvuta au kutoa pumzi puani kama afanyavyo mtu aliyelala.
korota, forota
nominoPlural makoroma
- 1
nazi iliyo karibu kupevuka.
toa sauti nzito ya mkwaruzo kwa kuvuta au kutoa pumzi puani kama afanyavyo mtu aliyelala.
nazi iliyo karibu kupevuka.