nominoPlural mori
- 1
ng’ombe jike ambaye bado hajazaa.
mtamba
nominoPlural mori
- 1
mafuta ya kifuani mwa mnyama, hasa ng’ombe.
nominoPlural mori
- 1
hasira kali anayokuwa nayo mtu, agh. kwa kuzuiliwa kulipiza kisasi.
‘Shikwa na mori’‘Ingiwa na mori’‘Pandwa na mori’harara
nominoPlural mori
- 1
dawa maalumu inayomfanya mtu awe mkali.