nominoPlural mito
- 1
korongo lenye maji yanayotiririka wakati wote, agh. kuanzia mlimani kuelekea ziwani au baharini.
nominoPlural mito
- 1
kitu kama mfuko uliojazwa pamba, sufi au manyoya kinachotumiwa kwa kulazia kichwa wakati wa kulala.
- 2
aina ya takia.