kitenzi elekezi~ia, ~iana, ~ika, ~isha, ~wa, ~iwa
- 1
saga na kamua mbegu au tunda la mti au mmea fulani ili kutoa umajimaji uliomo katika kitu hicho.
‘Sindika mafuta’
kitenzi elekezi~ia, ~iana, ~ika, ~isha, ~wa, ~iwa
- 1
funga k.v. mlango au dirisha bila ya kutia komeo au tumbuu wala kubana.
vugaza