nominoPlural matovu
- 1
nakshi ya madini k.v. fedha au shaba, yenye umbo la kitovu inayowekwa mlangoni.
kivumishi
- 1
-enye kukosa; -siyokuwa na.
‘Mtovu wa adabu’‘Mtovu wa haya’‘Mtovu wa imani’methali ‘Mcha Mungu si mtovu’
nakshi ya madini k.v. fedha au shaba, yenye umbo la kitovu inayowekwa mlangoni.
-enye kukosa; -siyokuwa na.