Ufafanuzi wa changamana katika Kiswahili
changamana
kitenzi sielekezi~ia, ~ika, ~isha
- 1
kuwa katika hali ya kuchanganyika.
- 2
shirikiana au changanyika na watu.
shirikiana, tangamana - 3
kuwa jirani na; pakana na.
kuwa katika hali ya kuchanganyika.
shirikiana au changanyika na watu.
kuwa jirani na; pakana na.