nominoPlural chumvi
- 1
madini meupe ambayo hutiwa katika chakula wakati au baada ya kupika ili kuongeza ladha au utamu.
‘Chumvi ya unga’munyu
nominoPlural chumvi
- 1
maelezo yenye kusifu jambo kupita kiasi.
‘Tia chumvi’
nominoPlural chumvi
- 1
madini meupe ambayo hutiwa katika chakula wakati au baada ya kupika ili kuongeza ladha au utamu.
maelezo yenye kusifu jambo kupita kiasi.